Posts

Showing posts from May 12, 2016

AJALI: Basi latumbukia kivukoni

Image
Inasemekana basi hilo lilikuwa linafanmya safari zake kutoka TANGA,DSM mpaka MOMBASA lilipatwa na dhuruba hiyo katika kivuko cha LIKONI kilichopo nchi ya KENYA. Hakuna taarifa juu wa ABIRIA WALIOKUWEMO HUO.. Narrow accident to the Mombasa Tanga Darassalam bound bus at Likoni Channel in Mombasa County.

KINYAMBE AFARIKI DUNIA..

Image
 R.I.P                                           Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwako Mbeya. Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitishia kuwa msanii huyo ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa