Posts

Showing posts from May 7, 2016

mazoezi kwa ajili ya kufanya uke uwe tight(mnato)

Image
wanawake wengi husumbuliwa na tatizo ala uke kuwa mkubwa, wengi huumizwa na tatizo hili na wakati mwingine kupelekea mahusianao yao na wapenzi wao kuharibika, leo nitawaelezea njia rahisi ya kuepukana na tatizo hili kwa kutumia njia hizi squat   zoezi hili hukaza tumbo na misuli ya uke zoezi la kunyanyua miguu zoezi la kuinua kiuno juu zoezi hili hukaza kiuno na misuli ya uke mazoezi ya yoga zoezi la kujaribu kutapika ukiwa unapiga mswaki asubui jaribu kufanya kama unaupeleka karibu na koremeo ukifanya hivyo utajisikia kama unataka kuyapika au unaweza kujiingizia vidole mdomoni. hii husaidia kukaza misuli kwa wanaume na wanawake zoezi la kufanya kama unataka kutapika hukaza misuli ya uke mazoezi ya kukaza tumbo Kuinua visigino zoezi lingine kwa wale.wanaovaa viatu vyenye visigino, sio lazima viwe virefu sana.  unapokuwa umesimama jaribu kuinua kidogo.visigino vyako tumia vifaa nya kufa

UREMBO:Njia tano za kukuza nyewe zako

Image
  Moja ya imani kubwa iliyojengeka miongoni mwa waafrika hasa watanzania ni kwamaba nywele nyeusi hazikui kwa urahisi kama aina nyingine za nywele kama za wazungu, wahindi na waarabu. Ukweli ni kwamba nywele aina zote zinakuwa kwa wastani wa nusu inchi kwa mwezi anasema DR Del Sandeen mtaalam wa nywele nyeusi. Wanawake wengi wenye nywele nyeusi wamakuwa wakiteseka sana mpaka kufikia hatua ya kuzikata nywele zao au kuvaa nywele za bandia (wigi). Hakuna haja ya kuteseka kwani kinachoitajika ni kufuata njia na mbinu zitakazo kutoa kwenye tataizo hili. Zifuatazo ni njia utakazotumia ili kuzifanya nywele zako ziwe zenye afya ndefu na kuvutia. 1.FUATA KANUNI ZA AFYA/KULA VIZURI Kabla ya kutibu tatizo kwa nje inatakiwa kulitibu kwa ndani. Ni ukweli kwamba vitu unavyokula, kunywa na jinsi gani unautunza mwili wako vina mchango mkubwa katika ukuaji wa nywele zako. Nywele zina Keratini ambayo ni protini inayotengenezwa na amino acid. Ili nywele mpya ziweze kukua, mwili wako unaitaji uzalishe aci

VIDEO: angalia video ya Patrick Ekeng alivyo anguka na kuaga Dunia..R.I.P

Image
                                                           VIDEO HII HAPA Ekeng Kiungo wa Dinamo Bucharest na Cameroon Patrick Ekeng amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 25 kwa kile kinachodhaniwa ni shambulio la moyo baada ya kuanguka uwanjani wakati wa mechi. Ekeng alianguka chini dakika ya 70 wakati wa mchezo wa ligi ya Romania kati ya Dinamo Bucharest dhidi ya Viitorul. Saa mbili baadaye zilitoka habari kutoka hospitali kwamba Ekeng amefariki. Shirikisho la Soka la Romania limetangaza kusogeza mbele kwa wiki moja zaidi mchezo wa fainali ya kombe la FA (Romanian Cup) kati ya Dinamo na Cluj na sasa utachezwa May 17. Ekeng alijiunga na Dinamo Bucharest mwezi January akitokea katika klabu ya Cordoba ya nchini Hispania. Imetangazwa kuahirishwa kwa mechi zote ambazo zilikuwa zichezwe weekend hii. Chama cha soka cha Cameroon kimethibitisha kifo cha Ekeng kupitia mtandao wa twitter huku klabu yake ya zamani ya Cordoba ikitweet pia kusikitishwa na taarifa z

VIATU:kwa bei rahisi tuu...kwa DAR ES SALAAM...unaletewa mpaka nyumbani.....

Image

Young D kupost picha akivuta ganja (Bangi)

Image
Baada ya Young D kupost picha akivuta ganja (Bangi) kwenye ukurasa wake wa Insta, baadhi ya mashabiki wake wamemjia juu na kumchana kuwa anapotea kutokana na matumizi yake ya dawa za kulevya. @EATV

MADHARA YA KUJICHUBUA (PUNYETO) KWA MWANAUME

Image
        1. KUJICHUA INAUA NGUVU ZA KIUME : Kitendo cha kujichua kinaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unajichua jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inalegea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama hauwi strong unakuwa kama umelegea. Binti anakuwa amejitunza anajua siku nitakapoolewa mambo yote yatakuwa sawa anafika ndani na kukuta kumbe! kiungo kilishatumika sana kabla ya wakati. 2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO : Mara nyingi mtu aliyezoea kujichua atakumbana na tatizo au changamoto ya huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya mapenzi na mwezi wake na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara nyingine na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mwenzi wake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea na tendo hilo.  3. Huchangia Kuleta Uharibifu Katika Mishipa ya Fahamu. Wanaume wengi sana wanatumia mikono mikavu ku

WEMA SEPETU GIGY MONEY VITA KALI YA KUMGOMBEA IDRISS

Image
  Juzikati lilifanyika bonge la pati pale Regency Hotel, Mikocheni jijini Dar lililokwenda kwa jina la Pool Party ambapo mbali na matukio mengine, msanii Gift Stanford ‘Gigy’ na mpenzi wa Wema Isaac Sepetu, Idris Sultan walisababisha gumzo baada ya kugandana kisha baadaye kudaiwa kuondoka pamoja. Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo mashuhuda waliokuwa eneo hilo waliwaona wawili hao wakiwa ‘very close’ na hata wakati wa mapichapicha, mapozi yao yalikuwa tata huku Idris akishikilia ‘zigo’ la Gigy na mdada huyo naye kummiminia mabusu bwerere.  Msanii Gift Stanford ‘Gigy’akimbusu Idris Sultan. ETI WAENDA KUMBONJI PAMOJA Washakunaku wakaendelea kushusha madai mazito kuwa, baada ya kutoka eneo hilo, Gigy alimganda Idris na kuondoka kwenda kumboji pamoja. “Walionekana kama mtu na mpenzi wake wakati tunajua Idris ni shemeji yetu kwa Wema. Hata kutoka, walitoka pamoja sasa utaona hapo kuna nini tena?” Alihoji mtoa habari huyo ambaye alidai ni shosti wa Gigy.