Posts

R.I.P... Mzee Majuto

Image
I M/Mungu ailaze roho ya King Majuto mahali pema peponi ..

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2018 -CSEE

Image
Kuona matokeo ya kidato cha nne 2018 bofya link hapa chini http://www.tamisemi.go.tz/noticeboard/tangazo-1096-20180130-Matokeo-kidato-cha-nne-2017/CSEE%202017/indexfiles/index_d.htm

Mfahamu KIM JONG-UN-Rais wa Korea ya Kaskazini

Image
STAAJABIKA NA KIM JONG-UN (ALMAARUFU KWA JINA LA KIDUKU) RAIS WA KOREA KASKAZINI. Kim Jong- un ni mtoto wa tano na wa mwisho katika uzao wa Kim jog-il (raisi wa pili wa Korea Kaskazini). Kwa sasa ndiye kiongozi wa nchi hiyo na alichukua cheo hicho baada ya kifo cha baba yake Dec 19, 2011. Kim jong-un anatajwa kuwa mmoja wa viongozi wenye msimamo mkali hasa kwa nchi za kimagharibi na hadi sasa ameimarisha nguvu za kinyuklia za korea kaskazini na anainyima usingizi Marekani. Hebu  sasa tuyajue machache yafuatayo kumuhusu Kim jong-un: 1. Ni general pekee duniani aliyepata cheo hicho bila uzoefu wa kijeshi. Kipaji, akili na kujituma ndo vilimfanya kuwa general licha ya kutokuwa na mafunzo wala uzoefu wowote wa masuala ya kijeshi. Labda ni kwa sababu Kim ni shupavu na jasiri wa kuzaliwa na sio wa kujifunza. Na anapenda zana za kinyuklia kuliko zana nyingne za kijeshi. 2. Pamoja na kuwa kiongozi na mkuu wa nchi, Kim hakusoma shule yoyote nchini Korea kaskazini. Alipele

JINSI YA KUFANYA USAFI WA CHUMBA CHA KULALA

Image
Chumba chako lazima ukihifadhi vizuri kwa sababu ndio mahali ambapo unapatumia wakati ukiwa umechoka na unahitaji upumzike. Ni sehem ambapo unahitaji kuondoa mawazo zote na kutuliza mwili na akili, pia ni mahali ambapo kwa wewe uliyekwenye ndoa unapata faragha ya kutosha kuwa na mweza wako. kutokana na kuwepo kwa chumba cha kulala basi ni vizuri kikawa na mwonekano utakaokufanya vizuri ukiwa ndani ya chumba chako maana ndio sehemu ya kukuondolea uchovu na mawaz sio vizuri chumba kionekane kikiwa kimejaa uchafu kama makaratasi au vitabu kila mahali bila mpangilio mzuri. pangilia vitu vyako vizuri ilikuleta mvuto ndani ya chumba chakio cha kulala,sio chumba kinakuwa kama store ya kuhifadhia mazao yakiisha vundwa Chumba kinaongezeka mvuto pale unapokipamba kwa maua, fremu za picha, mapazia mazuri na pia kapeti zuri la kuvutia. kwa wale nye familia unaweza weka picha ukiwa na familia yako au mkeo/mumeo ukutani au mezani  Nguo ziwe zimepangwa vizuri kabatini au sandukuni na

Mh.Tundu Lissu aachiwa kwa dhamana

Image
.                            KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI  KISUTU Mh. Tundu Lissu (Rais wa TLS)imemuachia  kwa dhamani ya kiasi cha milioni 10 na kupewa masharti ya kutotoka nje ya mkoa wa DSM bila ruhusa ya Mahakama alikuwa akitetewa na mawakili 18

Jinsi ya kutoa Michirizi ya mwilini

Image
  Tatizo la kutokea kwa michirizi Mwilini inaweza sababishwa na  madhara ya kunywa madawa ya aina fulani, au ukipaka mafuta, au krimu kali kwenye ngozi husababisha uharibifu wa ngozi nanakutokea kwaa michirizi hiyo {Stretch marks}. Uzuri ni kuwa, huu si ugonjwa. Waweza kuondoa michirizi hiyo au kupunguza kwa asilimia kubwa muonekano wake. Uwapo wa michirizi mwilini ni tatizo linalowasumbua wengi.  Michirizi huweza kutokea shingoni,tumboni,mikononi,mapajani na hata kiunoni.  Watu wengi huangaika  kutafuta dawa ya kuondoa tatizo hilo bila mafanikio. Ni tatizo linaloleta muenekano mbaya hasa mhusika akivaa nguo za wazi.  Moja ya njia ya kutoa michirizi ya mwili   Unywaji wa maji mengi,angalau glasi kumi kwa siku,ulaji wa mboga za majanu na vyakula vyenye wingi wa vitamin C na E sambamba na madini ya Zinc na Silica ikiwamo karoti,spinachi na maharage mabichi. Vilevile matumizi ya juisi ya limao ambayo unaweza kuipaka kwenye maeneo yenye michirizi. Unapotum

Mama aliyekutwa barabarani amekaa na Ungo

Image
 mama huyo alionekanai katikati ya barabara akiwa mtupu na pembeni kukiwa na ungo  na mkoba, jambao lililovuta hisia za wengi na kulazimika kusogea karibu na eneo hilo kushuhudia kwa ukaribu ili kubaini kilichojiri. Mama huyo akinyanyuka kutoka kwenye ungo aliokuwa amekaa juu yake katikati ya barabara  maeneo ya  Banana-Ukonga jijini Dar    hali iliyoleta mtafaruku kwa wakazi wa eneohilo kila mtu alikuwa na mawazo tofauti juu ya mama huyo.. japo kuna taarifa kuwa mamahuyu alikuwa akiwasiliana na mtu yaani kama mganga kuwa afanye vitu hivyo iliwachawi waje kumchukua hapo hapo (na inasemekana watu hao ni matapeli wamemchezea mama huyu kiakili ilikumtapeli na mama huyo akafanya kama alivyoagizwa)na ayeyuke .. wengine wanasema hana akili vizuri .. tutakapo pata habari kamili tutaziweka hewani 

Faida ya kula BAMIA -na kazi yake mwilini

Image
1. Michirizi na utomvu unaopatikana katika Bamia, husaidia kusawazisha Kisukari kwa kuzuia kiwango cha Sukari inayotumika katika mwili kutoka kwenye utumbo mkubwa. 2. Utelezi wa bamia huchuja uchafu unaoingia katika Kolestorali na asidi ya Nyongo unaoingia kutoka kwenye Ini ambao usipo dhibitiwa huenda ikasababisha matatizo ya ki-afya. 3. Bamia husaidia kulainisha Utumbo mkubwa kutokana na kazi yake ya kulainisha choo. 4. Bamia hutumika kwa kutibu vidonda vya Tumbo inasaidia kusawazisha Asidi. Magonjwa Maalum Asidi ya Kujirudia rudia na Kufunga Choo Tafuna vipande sita vya Bamia bila kutumia dawa nyigine kilasiku na Asidi ya Kujirudia rudia na kufunga choo kutakwisha, inashusha Sukari kutoka 135 hadi 98 Pumu Bamia ina Vitamin C ambayo inawafana watoto wanaougua ugonjwa wa pumu kupumua vizuri wanapoitumia. Nusu kikombe ya Bamia iliyopikwa huwa na miligramu 13 ya vitamin C. Kidonda Ndugu (Cancer) Bamia husaidia kuweka Utumbo kuwa na hali nzuri hivyo kupunguza uwezakano wakuugua

JINSI YA KUPIKA TAMBI ZA MAYAI

Image
 JINSI YA KUPIKA TAMBI ZA MAYAI MAHITAJI Tambi 1/2 paket Vitunguu maji 2 vikubwa Karoti 1 pilipili hoho 1 Vitunguu swaumu kijiko 1 cha chakula Carry powder kijiko 1 cha chai Njegere zilizo chemshwa 1/2 kikombe Mafuta ya kupikia kiasi Chumvi kwa ladha upendayo mayai 2 MAANDALIZI 1: Chemsha maji yachemke sana, weka chumvi na mafuta kiasi, weka tambi katika maji yaliyo chemka ziache ziive kiasi; sikiisha iva chuja maji na uziache kavu. 2: Chukua bakuli gonga  mayai kisha weka pembeni. 3: Chukua kikaango kilicho safi weka jikoni tia mafuta kiasi na utaendelelea kuweka vitunguu maji,vitunguu swaumu,hoho ,karoti na carry powder,kaanga kwa pamoja katika moto mdogo mdogo na havitakiwi kuiva sana. 4: kisha tia tambi na njegere katika mchanganyiko wako na uendelee kukaanga kwa dakika kadhaa. 5: chukua mayai tia katika tambi ongeza moto kiasi, ili tambi zako zichambuke ,moto hautakiwi kuwa mdogo sana ikiwa moto ni mdogo tambi zako zitashikana na kut

Mohamed Salah akamilisha usajili LIVERPOOLFC

Image
Mchezaji wa Club ya ROMA na timu ya Taifa ya  Egypt  -ameamua kujiunga na Majongoo wa ENGLAND ,liverpoolfc maada ya mvutano uliokuwepo kati ya LFC na ROMA juu ya dau la mchezaji huyo uliisha na makubaliano yakakamilika, Salah Alikuwa MISRI ilibidi apande ndege na kuingia katika viunga ANFIELD kwa kusaini mkataba mpya na club yake mpya Salah akabiziwa jezi na 11 aliyokuwa anaivaa Frimino na Frimino kapewa jezi namba 9

VIDEO Mpya za Diamond Platnumz - I miss you (Official Video) na Fire akiwa na Tiwa savage

Image
Diamond aachi nyimbo mpya mbili kwa wakati mmoja na zote nivideo moja inatwa - i miss you na nyingine inaitwa FIRE akiwa maeshirikiana na  Tiwa Savage 

ALLY YANGA AFARIKI DUNIA

Image
Shabiki mkubwa wa kutupwa wa club ya yanga almaarufu kama ALLY YANGA Amefariki jana tarehe 20 Juni, 2017 kwa ajali ya gari iliyotokea katika Kijiji cha Chipogolo kilichopo katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma SHABIKI HUYU NI MAARUFU SANA HAPA TANZANIA kwa kuwa hupenda kushabikia timu ya YANGA , timu ya taifa ya TANZANIA na pia chama cha mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya marehemu