Posts

Showing posts from May 14, 2016

MICHEZO; Maharez awa tishio FACEBOOK

Image
 Staa wa LEICESTER CITY na timu ya taifa ya ALGERIA amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii,baada ya kunyakuwa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka wa mtandao wa FACEBOOK. kwenye tuzo hiyo Mahrez amembwaka staa mwenzake ambae  ni JAMIE VARDY