Posts

Showing posts from May 20, 2016

Michael Jackson against Sony Speech in London

Image

Je wajua kuwa vidole vyako ndiyo mafanikio yako?? basi soma hapa….

Image
je vidole vyako viko A, B au C???? Mdau wangu wewe uko upande upi? (A) Kidole cha pete kikiwa kirefu kuzidi cha shahada Watu ambao vidole vyao vya pete ni virefu kuzidi kidole shahada huwa wana haiba na baadhi yao sura zao huvutia. Tena watu wa namna hii huwa hawana aibu na wanaweza kuzungumza kitu chochote bila kuogopa na mara nyingi wanakuwaga wagomvi pia huweza kutatua matatizo kwa haraka. Hata hivyo watu hawa wengi wao ni wenye huruma, wanasayansi, wahandisi, askari na viongozi. (B) Kidole cha pete kikiwa kifupi kuliko cha shahada Mara nyingi Watu wenye kidole kifupi cha pete kuliko kidole cha shahada ujiamini lakini wanapenda kujitenga na wenzao na wakiamua kufanya kazi ukamilisha kwa haraka lakini kazi zao uwa na walakini. Pia watu hao malengo yao hutimia kutokana na kwamba hawapendi usumbufu. (C) Kidole cha pete kikilingana na kidole cha shahada Watu ambao vidole vyao vya pete na shahada vinalingana mara nyingi ni watu wa amani,upendo na uepuka sana migogoro pia watu h

Liverpool confident of signing highly-rated Leicester full back Ben Chilwell

Image
Chilwell is also attracting interest from Premier League rivals Arsenal, who are looking for a replacement for Kieran Gibbs this summer. Chilwell made three appearances during Leicester's Premier League title-winning season – two in the FA Cup and one in the Capital one Cup. +5 Liverpool are confident they have won the race to sign the Leicester starlet (right) this summer +5 Chilwell is also wanted by Arsenal, who made an unsuccessful bid for the left back in January The former Huddersfield loanee was in action for England U20s as they began their Toulon Tournament campaign with a 1-0 win over Portugal on Thursday night.  Moreno's performance against Sevilla highlighted the need for competition at left back and the Spaniard was heavily criticised after the Reds' 3-1 defeat in the Europa League final. Moreno was blamed for the concession of Sevilla's first goal, just 17 seconds after half-time, with former

JE WAJUA? KIJANA MDOGO, ALIYEHUKUMIWA KIFO KWA KITI CHA UMEME

Image
George Junius Stinney, Jr. Ndiye kijana mdogo Mwenye umri wa miaka 14, aliyehukumiwa kifo kwa kiti cha umeme mwaka 1944 baada ya wasichana wawili wa kizungu , Betty June Binnicker wa miaka 11 na Mery Emma Thames wa miaka 8 kupotea na miili yao kuokotwa kesho yake ikiwa tayari wamekufa na mtu wa mwisho kuonekana akiongea na hawa watoto alikuwa ni huyu kijana mwenye asili ya afrika – George Junius Stinney (14). Kesi hii ilikuwa batili maana mashahidi wa kesi hii walikuwa polisi waliosema George amekiri shitaka(confess) ila hapakuwepo na maandishi(records)yoyote ya kuonyesha kukiri kwake. Polisi wawili na madaktari walioenda eneo la tukio na madaktari kuifanyia miili postmortem. Polisi na madaktari hawa walikuwa wazungu. Kesi hii ilichukua siku moja , jopo la majaji lilikuwa ni wazungu pekee kwasababu kipindi hicho BLACKS hawakuruhusiwa kupiga kura(right to vote), Goerge alibaki pekee yake bila shahidi kwasababu alikuwa mweusi(black). Kesi ilichukuwa masaa mawili n

Gigy Money amchana Snura wa CHURA

Image
  MODELING" Gigy Money asema kuwa snura kazi aliyofanya haiendani na video ya chura. asema kuwa snura alikurupuka kwa sababu wazo lake lilikuwa zuri lakini lilipitiliza

SHILOLE vs VEE MONEY Patamu hapo

Image
Shilole atangaza vita na Veee Money kuwa lazima amnyooshe kwa kumzungumzia vibaya mbele za watu, ..hata hivyo vee money kwa upande wake amejibu kwa kusema" nshasema kila kitu ambacho kina faakusemwa "