Mwana FA afunga ndoa

msanii mwana FA aamua kuukimbia ubachela na kuvuta jiko ndani kiuhalali kabisaa..japo kwenye nyimbo yake alisema kwamba hatarajii kuoa labda azeeke zeeke kwanza. MwanaFA Jumamosi ya Juni 5 alifunga ndoa na mchumba wake Helga ambaye pia na mama wa mtoto wake.