Posts

Showing posts from June 20, 2016

Basi la kampuni ya NBS Lapata AJALI

Image
u #HABARI Basi la kampuni ya NBS lililokuwa likisafiri kutokea Dar es salaam kwenda Tabora limepata ajali eneo la Gairo, huku taarifa zikisema watu 4 wamefariki na 10 kujeruhiwa. source @EATV