Posts

Showing posts from April 22, 2016

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI WAKATI WA HETHI (BLEED)

Image
                             Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi...Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}..     MADHARA KWA MWANAUME. 1.Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu.  2.Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume.  3.Kuziba kwa njia ya mkojo.  4.Utasa au ugumba.  5.Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume.  6.Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi

JINSI YA KUHESABU SIKU HATARI ZA KUPATA MIMBA

Image
Naomba ieleweke kwamba wanawake wametofautiana kwa asilimia kubwa sana ktika mzunguko wao wa bleed hivyo kwa utangulizi tuu kuwa makini na jinsi unavyoanza bleed ili iweze kukusaidia katiaka kuhesabu kwako siku za hatari ..Na si kulinganisha siku ambayo labda ulianza sawa na rafiki yako....   1:16 days abnormal 2:18 days abnormal 3: 21 day cycle abnormal 4: 28 day cycle which is normal 5:30 days cycle which is normal 6: 32 days cycle which is normal 7: 33 , 35, 40 or more this is abnormal How to calculate 16 day m -cycle {jinsi ya kuhesabu siku zako} mfano: umeanza kubleed leo tarehe 9 / 7/2016 kwa hiyo chukua daftari na andika na hesabu moja. hesabu kuanzia hapo mpaka utakapo fika 16 na ujua siku ya kumi na sita itaangukia tarehe ngapi? utakuja kuona siku ya 16 inaangukia tarehe 24/7/2016 hivyo your next bleed should start 25/7/2016. hivyo hivyo utaanza kuhesabu kutoka tarehe 25/7/2016 mpaka kumi

TAZAMA PICHA ZA HARUSI YA MR.BLUE

Image
Hatimae mwanamziki miondoko ya R&B Mr.BLUE afunga ndoa

DUANIANI wawili wawili

Image
   kweli nimeamini katika dunia kuna watu wanafanana japo sio ndugu wa damu.   ona hii picha