Mwana FA afunga ndoa

msanii mwana FA aamua kuukimbia ubachela na kuvuta jiko ndani kiuhalali kabisaa..japo kwenye nyimbo yake alisema kwamba hatarajii kuoa labda azeeke zeeke kwanza. MwanaFA Jumamosi ya Juni 5 alifunga ndoa na mchumba wake Helga ambaye pia na mama wa mtoto wake.

Popular posts from this blog

SIFA ZA MWANAMKE MNENE KITANDANI NA RAHA YAKE.

mazoezi kwa ajili ya kufanya uke uwe tight(mnato)

Faida ya kula BAMIA -na kazi yake mwilini

KAZI YA SHANGA KIUNONI NA MAANA YA RANGI ZAKE........