PICHA YA PREZOO KWA DAYNA..ILIVURUGA NDOA YA DAYNA

                                 
Akizungumza na Enewz Dayna amesema kuwa alikutana na Prezo kabla ya yeye kuwa star mkoani Morogoro katika show ambayo yeye alimfata A.Y kwaajili ya project yake ya kimuziki.
“Wakati nipo nao nikatamani kupiga nao picha ya kumbukumbu ambayo baadae mzazi mwenzangu alivyoiona ilikuja kuleta shida hadi ikapelekea tukakosa maelewano na baadaye tukashindwana”, alisema Dayna.
Aidha Dayna akiizungumzia skendo ya yeye kutoka kimapenzi na rapper Roma Mkatoliki ameiambia Enewz kuwa yeye na Roma ni washikaji tuu na ushiriki wake katika harusi ya rapper huyo ni moja ya majukumu ya sehemu ya familia kwani kwa sasa yeye amekuwa ni mmoja wa familia hiyo.
 Dayna amesema kuwa alikutana na Prezo kabla ya yeye kuwa star mkoani Morogoro katika show ambayo yeye alimfata A.Y kwaajili ya project yake ya kimuziki.
“Wakati nipo nao nikatamani kupiga nao picha ya kumbukumbu ambayo baadae mzazi mwenzangu alivyoiona ilikuja kuleta shida hadi ikapelekea tukakosa maelewano na baadaye tukashindwana”, alisema Dayna.
Aidha Dayna akiizungumzia skendo ya yeye kutoka kimapenzi na rapper Roma Mkatoliki ameiambia Enewz kuwa yeye na Roma ni washikaji tuu na ushiriki wake katika harusi ya rapper huyo ni moja ya majukumu ya sehemu ya familia kwani kwa sasa yeye amekuwa ni mmoja wa familia hiyo.
@ Enewz EATV

Popular posts from this blog

SIFA ZA MWANAMKE MNENE KITANDANI NA RAHA YAKE.

mazoezi kwa ajili ya kufanya uke uwe tight(mnato)

Faida ya kula BAMIA -na kazi yake mwilini

KAZI YA SHANGA KIUNONI NA MAANA YA RANGI ZAKE........