ADHARI ZA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE





 
 HISIA

Miaka ya hivi karibuni imeibuka aina mpya ya kushiriki tendo la ndoa kwa mtindo wa kisasa ambao unahusisha mapenzi kinyume na maumbile. Suala hili linatokana na utandawazi  ambapo wanawake na wanaume  huiga mtindo huo kutoka mataifa ya magharibi  kupitia intaneti pamoja na video za ngono.
Aidha wanawake na wanaume huiga staili hiyo ya kushiriki tendo la ndoa pasipo kuogopa madhara ya kiafya  yanayoweza kutokea kwa wanawake na wanaume. Mtindo huo unao onekana kuwa ni wa kisasa  una hatari kubwa kwa afya kati ya mwanaume na mwanamke.
Kuiga iga mitindo ya  maisha ya  kimagharibi pasipo kuangalia madhara yake  ni hatari kwani watu wengi waliowahi kuhusika katika mtindo huo wanajutia maamuzi yao kutokana na madhara waliyoyapata.
Yafuatayo ni madhara yanayoweza  kutokea kwa upande wa mwanaume:
-Kuziba mirija  katika sehemu ya siri ya mwanaume
Kwa upande wa mwanamke ni pamoja na
Kupanuka na kusababisha kutokwa na haja kubwa katika kipindi mwanamke anapotaka kujifungua.
Si vizuri kuiga mambo yasiyo faa eti kwa vile unaangalia katika intaneti pamoja na video za watu wa magharibi.

Popular posts from this blog

SIFA ZA MWANAMKE MNENE KITANDANI NA RAHA YAKE.

mazoezi kwa ajili ya kufanya uke uwe tight(mnato)

Faida ya kula BAMIA -na kazi yake mwilini

KAZI YA SHANGA KIUNONI NA MAANA YA RANGI ZAKE........