Mirror ft Barakah da Prince..naogopa lyrics /mashairi



[Intro]
[Mirror]
Kama nyota na mwezi angani
Kama nyota na mwezi angani
[Barakah Da Prince]
Mwenzenu naogopa kuumia
Mwenzenu naogopa kuumia
[Verse 1 – Mirror]
Usinipe namba ka unajua utajakuniuma
Kupenda sio shamba, natamani na moyo unaniuma
Mi mwana masikini kipato kidogo (kidogo)
Uje uniache mimi uende kwa vigogo (ah vigogo)
[Pre-Chorus – Mirror]
Hata kama sipo
Pendo langu lipo
Mvua na mafuriko
Hapa mbele ya maandiko
Milele mpaka kifo
Kwamba mi ni wako
Wako, uh
[Chorus – Barakah Da Prince]
Sijutii maamuzi yangu ila naogopa kuumia
Ndipo ilipo furaha yangu baby naogopa kuumia
Usije ponza hisia zangu mwenzio naogopa kuumia
Mapenzi ndio furaha yangu mwenzenu naogopa kuumia
[Verse 2 – Mirror]
Kama nyota na mwezi angani, niwe karibu nawe
Natamani hata kama ungenipenda mimi tu (mimi tu)
Ila kwingine usitamani, my baby, tuwe mimi nawe
Natamani hata kama ungenipenda mimi tu (mimi tu)
[Pre-Chorus – Mirror]
Hata kama sipo
Pendo langu lipo
Mvua na mafuriko
Hapa mbele ya maandiko
Milele mpaka kifo
Kwamba mi ni wako
Wako, uh
[Chorus – Barakah Da Prince]
Sijutii maamuzi yangu ila naogopa kuumia
Ndipo ilipo furaha yangu baby naogopa kuumia
Usije ponza hisia zangu mwenzio naogopa kuumia
Mapenzi ndio furaha yangu mwenzenu naogopa kuumia
[Verse 3 – Barakah Da Prince]
Mapenzi bila pesa ndio yaponzao
Mara nyingi moyo wangu
Ila najipa imani kwako haitakuwa hivyo
Tena kuwa makini nisemayo
Usiulaghai moyo wangu
Kwa kunipenda kwa uzani, mwisho kujutia
[Pre-Chorus – Barakah Da Prince]
Ah! Hata kama sipo
Pendo langu lipo
Mvua na mafuriko
We mama
Hapa mbele ya maandiko
Milele mpaka kifo
Kwamba mi ni wako
Mama wee
[Chorus – Barakah Da Prince]
Sijutii maamuzi yangu ila naogopa kuumia
Ndipo ilipo furaha yangu baby naogopa kuumia
Usije ponza hisia zangu mwenzio naogopa kuumia
Mapenzi ndio furaha yangu mwenzenu naogopa kuumia
[Outro]
Ila naogopa kuumia
Baby naogopa kuumia
Mwenzenu naogopa kuumia
Mwenzenu naogopa kuumia
Ila naogopa kuumia
Baby naogopa kuumia
 See more at: http://www.raihop.blogspot.com/2016/02/lyrics-mirror-naogopa

Popular posts from this blog

SIFA ZA MWANAMKE MNENE KITANDANI NA RAHA YAKE.

mazoezi kwa ajili ya kufanya uke uwe tight(mnato)

Faida ya kula BAMIA -na kazi yake mwilini

KAZI YA SHANGA KIUNONI NA MAANA YA RANGI ZAKE........