Mama aliyekutwa barabarani amekaa na Ungo



 mama huyo alionekanai katikati ya barabara akiwa mtupu na pembeni kukiwa na ungo  na mkoba, jambao lililovuta hisia za wengi na kulazimika kusogea karibu na eneo hilo kushuhudia kwa ukaribu ili kubaini kilichojiri.
Mama huyo akinyanyuka kutoka kwenye ungo aliokuwa amekaa juu yake katikati ya barabara maeneo ya Banana-Ukonga jijini Dar   hali iliyoleta mtafaruku kwa wakazi wa eneohilo







kila mtu alikuwa na mawazo tofauti juu ya mama huyo..
japo kuna taarifa kuwa mamahuyu alikuwa akiwasiliana na mtu yaani kama mganga kuwa afanye vitu hivyo iliwachawi waje kumchukua hapo hapo (na inasemekana watu hao ni matapeli wamemchezea mama huyu kiakili ilikumtapeli na mama huyo akafanya kama alivyoagizwa)na ayeyuke .. wengine wanasema hana akili vizuri ..


tutakapo pata habari kamili tutaziweka hewani 


Popular posts from this blog

SIFA ZA MWANAMKE MNENE KITANDANI NA RAHA YAKE.

mazoezi kwa ajili ya kufanya uke uwe tight(mnato)

Faida ya kula BAMIA -na kazi yake mwilini

KAZI YA SHANGA KIUNONI NA MAANA YA RANGI ZAKE........