[Hook 1 – G Nako] Gari umeniwasha, eh Na hii arosto yangu, nani aniponye? Gari umeniwasha, eh Na hii arosto yangu, nani aniponye? Gari umeniwasha, gari umeniwasha Gari umeniwasha eh Gari umeniwasha, gari umeniwasha Gari umeniwasha eh [Hook 2 – Chin Bees] Uu uh arosto, usiniache na arosto Baby baby uh uh Arosto, usiniache na arosto Baby baby uh uh Arosto, usiniache na arosto Baby baby uh uh Arosto, usiniache na arosto [Verse 1 – G Nako] Nikaanza peleka round kwanza Nikamuendea kumuombea tenga mamaa Nkamvuta chemba, tema cheche kadhaa Kumuomba denda akaniambia “tamaa Mbona less, hata kujuana jamaa” Nikaenda less sikushtuka kwamba Labda huyu sio demu wa majina na material Ni ngumu kumpa vina aingie interior Mi huwaga OG, hujasikia “Original”? Nataka nikumiliki sitaki kiki no! [Pre-Hook – Chin Bees] Ou ou uh Nakusakanya kila kona sikuoni Napaperemba, uko wapi mamii? Nakusakanya kila kona sikuoni [Hook 1 – G Nako] Gari umeniwasha, eh Na hii ar...